Thursday, June 4, 2015

Shirika la habari la Uingereza liliamini malkia  Queen Elizabeth aliyezaliwa 1926  amefariki dunia.Amejitokeza hadharani katika ukumbi wa Royal Albert Hall tukio la WI nakukata keki akisaidiwa na Sophia na Anne.Queen Elizabeth mwenye umri wa miaka 89 amekua mnyonge kwa muda sasa kutokana na maradhi.

0 comments:

Post a Comment