Hairuhusiwi kujichukulia Sheria mikononi kama ikitokea mtu amekamatwa kwa kosa lolote, lakini wakati mwingine watu wanaamua kuchukua maamuzi magumu kutokana na hasira.
Jamaa huyo alikamatwa na walinzi wakati akiwa anataka kuiba maeneo ya Pam Residence, Dar.
0 comments:
Post a Comment