#AzimioLaTabora kujenga Taifa lenye kujitegemea kiuchumi na kiutamaduni na ambalo linalinda na kudumisha usawa,ustawi wa jamii na Demokrasia
#AzimioLaTabora kufumua mfumo wa umiliki sekta ya madini kutoka mfumo wa leseni kwenda mfumo wa PSAs. Madini kuwa Mali ya wananchi KIKATIBA
#AzimioLaTabora kuweka mfumo rahisi wa kikodi katika sekta ya Utalii ikiwemo urahisi wa kupanua wingi wa vyumba vya wageni kuhimili watalii
#AzimioLaTabora Shabaha kwenye sekta ya Utalii ni kuingiza mapato ya fedha za kigeni $8bilioni kwa mwaka
#AzimioLaTabora tunalenga Tanzania kuwa nchi ya 5 kwa ukubwa wa uchumi Afrika na ya 1 Afrika Mashariki

0 comments:
Post a Comment