Thursday, July 2, 2015

Bunge limeahirishwa ghafla kufuatia Wabunge wa Upinzani kusimama na kukataa kutoka nje ili kuzuia Miswada mitatu muhimu ya Gesi, Petroli na Uziduaji kusomwa kwa Hati ya Dharura.
-Wabunge wa Upinzani wanataka Miswada ijadiliwe kwanza na wadau kabla haijasomwa.

0 comments:

Post a Comment