Posted by Williammalecela.com on Thursday, July 02, 2015
Mahakama
Kuu ya Tanzania imeamuru Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha
Ministry, apimwe DNA kufuatia madai ya kumpa mimba mke wa mtu.
-Alimpa mimba mwanamke aitwaye Philiss Nyimbi na kuzaa mtoto aliyeitwa Daudi Mwingira.
0 comments:
Post a Comment