Thursday, July 2, 2015



Mahakama Kuu ya Tanzania imeamuru Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha Ministry, apimwe DNA kufuatia madai ya kumpa mimba mke wa mtu.

-Alimpa mimba mwanamke aitwaye Philiss Nyimbi na kuzaa mtoto aliyeitwa Daudi Mwingira.

0 comments:

Post a Comment