Matumizi ya fedha za kigeni hasa dola yanaliletea majanga uchumi wa nchi ya Tanzania kwa kushusha thamani ya fedha yetu.Nyumba za kupanga zimekuwa zikilipiwa kwa dola,manunuzi ya bidhaa mbalimbali ndani na nje ya nchi.Fedha ya madafu ni neno maarufu midomoni mwawatanzania wasio na uzalendo na fedha ya taifa lao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment