Monday, July 6, 2015

Tovuti ya Wasira 2015 - Tovuti hii inajumuisha habari mbalimbali za Mh. Stephen Wasira  akiwa katika safari yake ya kutafuta wadhamini ili kupata ridhaa ya Chama cha Mapinduzi kuwa mgombea wake wa kiti cha Urais katika uchaguzi ujao. Safari hii ilimfikisha mikoa 31 nchini kote Bara na Visiwani.
Bofya hapa kuona Video, picha na mengineo www.wasira2015.co.tz

0 comments:

Post a Comment