Saturday, August 1, 2015

Chama cha Mapinduzi leo wamefanya Uchaguzi wa Ndani kuchagua wagombea wa Nafasi ya Ubunge na Udiwani katika Jimbo la Moshi Mjini 

DAVIS MOSHA ameshinda kwa kura 5271 Anayemfuatia Amepata Kura 700

0 comments:

Post a Comment