Tuesday, August 11, 2015


WAJINGA NDIYO WALIWAO:
"Fani ya Edward Ngoyai Lowasa ni usanii lakini usanii wake kwa leo umekwenda mbali zaidi baada ya kuhadaa watanzania.
Vituo cha mafuta ktk jiji la Dar es salaam vilifulikwa na boda boda tayari kujaziwa mafuta bure kwa gharama za msanii Lowassa na kuwalipa posho in cash bila mkono ili wahamasike kuingia kwenye mkumbo wa maandamano yake.


Hii nchi inakokwenda watanzania wanafanywa km kopo la mikojo linavyotumika, hivi kweli watu na akili zao timamu wanaacha shughuli zao za kujiingizia kipato na kutafuta fedha za haraka haraka hivyo kweli kutoka kwa mtu huyu mloo wa madaraka.
Hizo fedha anazowapa E. L mnajua zitarudishwa kwa njia gani? au mwisho wa siku majuto ni majukuu na maamzi ya miaka mitano mlikwisha fanya jitafakari chukua hatua mapema kabla cku haijawadia.
Nafikiri ifike muda watu wafanyiwe cancelling ya akili na mitazamo yao km iko timamu au ni viroba ndivyo vinafanya kazi ktk akili zenu."


0 comments:

Post a Comment