Friday, August 28, 2015

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa siku saba kwa Raia wa kigeni waliojiandikisha kwenye daftari la kupiga kura, warudishe vitambulisho vya Mpiga kura
-Wasipofanya hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao

0 comments:

Post a Comment