Posted by Williammalecela.com on Friday, August 28, 2015

Mgombea
urais wa chama cha ACT wazalendo bi Anna akiojiwa na Itv kuhusiana na
kipaumbe chake ameshindwa kujibu! pia ameulizwa anagombeaje urais wakati
pia alichukuwa form ya kugombea Ubunge pia ameshindwa kujibu....
Source Itv
0 comments:
Post a Comment