JOHN MAGUFULI MTWARA-Msiwe na wasiwasi wowote uwe CCM, CHADEMA,Mkristo,mpagani,Muislamu kila mwanafunzi hakuna kulipa karo#MillardAyoUPDATES
JOHN MAGUFULI MTWARA-Mtu unalima korosho bado unahangaika kuuza mazao ili kupata hela,kwanza nitaimarisha soko la Korosho #MillardAyoUPDATES
JOHN MAGUFULI MTWARA-Wapo wanaosema CCM imechoka,jamani ukiwa na kitanda kina kunguni, usikichome kitanda wachome kunguni #MillardAyoUPDATES
JOHN MAGUFULI MTWARA-Mara baada ya kuapishwa, Nitaanzisha mahakama maalum ya majizi na mafisadi ili wafunge haraka haraka #MillardAyoUPDATES
JOHN MAGUFULI MTWARA-Wapo watu ndani ya Serikali ambao kazi yao ni kuiba iba tuu, wataipata mara baada ya mimi kuapishwa #MillardAyoUPDATES
JOHN MAGUFULI MTWARA-Makusanyo ya fedha yameanza kuonekana, yamekaribia bilioni 900,nataka kipindi changu yawe mara mbili #MillardAyoUPDATES
JOHN MAGUFULI MTWARA-Niwaombe wawekezaji wanaotaka kujenga viwanda, waje wawekeze hapa Mtwara, tutamaliza tatizo la ajira #MillardAyoUPDATES
millard ayo

0 comments:
Post a Comment