"Kama
nilimsikiliza vizuri Dr. SLAA jana alisema kuwa LOWASA ana hisa nyingi
kwenye MAKAMPUNI ambazo hajaziandika TUME YA MAADILI, Kama ni kweli Kwa
nchi zilizo endelea wananchi wange andamana kuishitaki TUME YA MAADILI
kwa kutotimiza wajibu wao ipasavyo. Hapa ndipo tutakapo ona umuhimu wa
katiba ya wananchi maana hata tume yenyewe ya maadili itakuwa HURU
zaidi! Baada ya uchaguzi mkuu kuna kazi kubwa ya kufanya!"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment