Friday, September 4, 2015


Akihojiwa ni kituo cha kituo cha Azam Two na Tido Mhando Dr. W. P. Slaa alipotakiwa kujibu ni nani aliyegharimia gharama za matangazo yake pale Serena hotel, Slaa alisema kwa nini
hakuulizwa alipokwenda USA mara mbili bila chama kumgharimia zaidi ya Tshs 500,000 badala yake wahoji saizi??

0 comments:

Post a Comment