Wednesday, September 9, 2015

Waziri Mkuu wa zamani , Jaji Joseph Warioba na mwenzake katika wadhifa huo kwa nyakati tofauti za utawala, Fredrick Sumaye , walishindanishwa ndani ya vyama Chadema, NCCR-Mageuzi , CUF na NLD vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kupata jina la mmojawapo atakayeshawishiwa kuwania urais. 
"Nilikataa na nikatoa sababu za kukataa. Mwisho ilinilazimu kutoa tamko hadharani kusema sitagombea na pia nikatoa sababu" anasema Jaji Warioba.  

0 comments:

Post a Comment