Posted by Williammalecela.com on Wednesday, September 09, 2015
Waziri
Mkuu wa zamani , Jaji Joseph Warioba na mwenzake katika wadhifa huo kwa
nyakati tofauti za utawala, Fredrick Sumaye , walishindanishwa ndani ya
vyama Chadema, NCCR-Mageuzi , CUF na NLD vinavyounda Umoja wa Katiba ya
Wananchi (UKAWA) ili kupata jina la mmojawapo atakayeshawishiwa kuwania
urais.
"Nilikataa na
nikatoa sababu za kukataa. Mwisho ilinilazimu kutoa tamko hadharani
kusema sitagombea na pia nikatoa sababu" anasema Jaji Warioba.
0 comments:
Post a Comment