Naibu
Waziri wa Sheria na Katiba,ambaye pia ni mgombea Ubunge viti maalum
upande wa akina Mama mkoa wa Tanga (UWT),Mh Ummy Mwalimu akimuombea Kura
za kutosha mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli ili aweze kuibuka mshindi
na kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.
Hakika Mheshimiwa Ummy Mwalimu wewe ni HAZINA ya Tanzania. HAPA KAZI TU...CCM OYEE....MAGUFURI OYEEE
ReplyDelete