Katibu
Mkuu Mstaafu wa CCM, Luteni Yusuph Makamba amemtaja Mhe. Edward N.
Lowasaa kuwa ni fisadi ambaye hafai kabisa kuongoza nchi. Amesema kuwa
alikataliwa tangu 1995 kutokana na kuwa na utajiri mkubwa ambao
haijulikani ameupataje. Amejimilikisha maeneo Makubwa ya Ardhi na Ranchi
zilizokuwa za Taifa mojawapo akiitaja Ranchi ya MZERU Iliyopo Mkoani
Tanga na kuwamilikisha pia rafiki zake. Amempatia dada yake tenda zote
za Halmashauri ya Wilaya ya Monduli hadi penseli. Makamba amesema kama
ni uongo Lowassa asimame na kukanusha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment