Monday, October 26, 2015

Wazee wa Mabadiliko wakiwa wameuchapa usingizi live kwenye mkutano na wananchi.

Mikoa yote 2 UKAWA wamefanya vibaya sana pamoja na picha hizi za kisanii za kumpigia deki Barabara mgombea wao Lowassa, Mwanza hawakupata kiti cha ubunge hata kimoja na Musoma wamepigwa viti 6 kwa 3 tu, matokeo sio sawa na hizi picha za kisanii!!

Walisema haya ni mafuriko ya Mwanza kumbe ni picha ya Rome kwenye kuhiji wao wakasema ni mafurikoz yao Mwanza, wamejiponza.

0 comments:

Post a Comment