Tanga
Wananchi walijaa sana mkutanon wengine wakazimia mpaka mkutano uliahirishwa
Matokeo ni kuwa CCM imeshinda majimbo 9 kati ya 12, jimbo moja matokeo bado, majimbo mawili uchaguzi haukufanyika.
Musoma
Wananchi walideki barabara ili Lowassa apite, matokeo ni kuwa kati ya majimbo 10, CCM wamebeba 6, Chadema 3, moja uchaguzi bado
Mwanza
Wananchi walikesha kwenye uwanja wa Furahisha wakimsubiri Lowassa, matokeo ni kuwa CCM imebeba majimbo yote.
Le Mutuz Nation
Wananchi walijaa sana mkutanon wengine wakazimia mpaka mkutano uliahirishwa
Matokeo ni kuwa CCM imeshinda majimbo 9 kati ya 12, jimbo moja matokeo bado, majimbo mawili uchaguzi haukufanyika.
Musoma
Wananchi walideki barabara ili Lowassa apite, matokeo ni kuwa kati ya majimbo 10, CCM wamebeba 6, Chadema 3, moja uchaguzi bado
Mwanza
Wananchi walikesha kwenye uwanja wa Furahisha wakimsubiri Lowassa, matokeo ni kuwa CCM imebeba majimbo yote.
Le Mutuz Nation

0 comments:
Post a Comment