Sunday, October 25, 2015

Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Ramadhani sasa hivi akiongea live na ITV amesema kwamba Matokeo rasmi ya uchaguzi wa leo hayajatolewa kabisa infact hakuna hata kituo kimoja ambacho kimeshatoa matokeo, anasema kwamba ni Tume yake tu yenye mamlaka kisheria kutoa matokeo ya uchgauzi na wao hawajafanya hivyo bado, kwa hiyo matokeo yote yanayorushwa kwenye mitandao sasa hivi ni ya uongo na ni kinyume kabisa na Sheria.

0 comments:

Post a Comment