Sunday, October 25, 2015


@LE MUTUZ LIVE STRAIGHT TALK!!:- Baada ya Kampeni za Uchaguzi kwa miezi 2 sasa leo tumefikia mwisho wa the Marathon ya ushindani, tumepiga kura na sasa kilichobaki ni Tume ya Uchaguzi kutoa majibu, Binafsi nimekuwa nikijitolea kutumia my influence ya Social Media kukipigania Chama changu CCM ambacho nina uhakika 100% kuwa KINASHINDA UCHAGUZI HUU, mwanzo wa hivi vita nilisema kwamba ninaingia vitani na nikawaomba wale wote ambao tunaheshimiana wakae pembeni mpaka Vita itakapokwisha. Leo ninasema Vita imekwisha na BINAFSI NINAWAOMBA RADHI WALE WOTE AMBAO KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE LUGHA YANGU YA KUPIGANIA ITIKADI YA CHAMA CHANGU CCM NILIWAKWAZA AU KUWAUMIZA it was a War na sasa imekwisha, again kama kuna niliyemkwaza NINAMUOMBA SANA RADHI YALIYOPITA YAMEPITA KAMPENI ZIMEKWISHA, TUSONGE MBELE KAMA TAIFA:-
- NINASEMA ninaamini chama changu CCM kimeshinda kwa 100%, lakini hata kama ikitokea the impossible kikashindwa nitakubali matokeo, Tanzania mbele na MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!
- le Mutuz Nation

0 comments:

Post a Comment