Habari zilizotufikia Punde Viongozi wa kata ya mabwererbwere jimbo la
mikumi kwa Prof Jay wamekamatwa kwa kosa la kuvamia Nyumban kwa
mgombea udiwani kata tajwa na kupora laki 5 pamoja na kumjeruhi
mgombea udiwani huyo....Prof Jay ametaka kufanya mipango ya dhamana kwao
lakini imeshindikana wameambiwa dhamana itawezekana baada ya wiki
mbili yani October 26
0 comments:
Post a Comment