Wednesday, October 28, 2015


Tume ya Uchaguzi Zanzibar imeufuta uchaguzi mkuu wa Zanzibar kutokana na kuwa na dosari nyingi ikiwemo uchaguzi kutokuwa huru na wahaki 
Mwenyekiti wa ZEC ametoa tangazo hilo kupitia shirika la utangazaji la ZBC mchana huu kuwa amechukua maamuzi hayo baada ya kujiridhisha kuwa uchaguzi uligubikwa na dosari nyingi.   

0 comments:

Post a Comment