Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Jimbo la Kilosa: Bawazir Mbaraka wa CCM, ameshinda kwa jumla ya kura 55703, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Msabaha Mohamed wa Chadema, aliyepata kura 19632.
Jimbo la Babati Vijijini: Jitu Soni wa CCM, ameshinda kwa jumla ya kura 56843, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Tara Surumbu wa Chadema, aliyepata kura 52683
0 comments:
Post a Comment