Program Note: Tarehe 5/10/2015 .... Ngurumo inaanza... treni haliendi hili... Geresha kuu ya kihistoria dhidi ya Watanzania lazima ikomeshwe; mabadiliko hayabinafsiswi na hayabambikizwi... Ndugu zetu wanayo haki ya kumtaka Lowassa na uongozi wa aina yake; na tupo wenye haki ya kumkataa Lowassa na uongozi wa aina yake... katika hili hatuna wa kumwomba radhi au kibali. Kama nchi ni yetu sote basi "sote ni sote"!


Stay tuned: #OperesheniZinduka
Watafunguliwa tu!!