Saturday, October 31, 2015


Nyumba ya Diamond inayodaiwa si yake.
IMEVUJA! Ile nyumba ya kifahari iliyoaminika ni ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ imefahamika kuwa siyo yake kama wengi walivyokuwa wakifahamu.
Diamond Platinumz.  

0 comments:

Post a Comment