Posted by Williammalecela.com on Wednesday, October 14, 2015

 |
@Balozi
Mwapachu wala hata sikujua kwamba ni Mwanachama wa CCM mpaka jana
alipotangaza kujitoa, HOWEVER ninaomba kusema hivi Mwapachu amewahi
kushika nafasi kubwa za Taifa na hata kuwa Balozi ameishi sana nje pia,
anaihama CCM kwa sababu moja tu kubwa kwamba rafiki yake mkubwa Lowassa
hakupitishwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea urais. - Ninajiuliza
sana kuhusu uwezo wake wa kuelewa na kufikiria Siasa in general maana
kwa maneno rahisi na yeye kama Kingunge wanaamini Lowassa was
bigger than CCM, walishaamua mapema sana kwamba haijalishi the Process
Lowassa lazima awe mshindi, kwa kweli ni vyema wamejitoa CCM haya mawazo
potofu sana na ninasema hawa ni Kingunge na Mwapachu ni watu wa hatari
sana kwa Taifa, hawajui maana ya UCHAGUZI binafsi ninawaombea heri na safari yao
ya huko UKAWA iwapatie kiu yao ya Lowassa kuwa Rais, maana kama ni
kweli wanajali haki wanayoidai wanapaswa kuelewa kwamba UKAWA ilikuwa na
mgombea Urais tayari Dr. Slaa ambaye amekatwa jina ghafla kwa sababu ya
Lowassa je vipi hilo wameliona au wameliona kwenye CCM tu? Hili Taifa
kumbe tulikuwa tunaongozwa na Viongozi wengi wababaishaji ninasema hawa
kina Mwapachu na Kingunge walikuwa ni Viongozi wababishaji na ni vyema
wakati umefika tumewajua waende salama! KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI! - le Mutuz Nation |
Bro...That's why with my understanding of Politics and CCM...I know for sure ...Hawa wote wanaohama Chama...Like Sumaye,Kingunge and Mwapachu hawana impact yoyote kwa siasa na CCM kwa ujumla.whether they stay or go. Can you believe Kuna vitoto huko Ig vinauliza who is Mwapachu.?? Hawajawahi hata kumsikia.Mungu Ibariki Tanzania.
ReplyDelete