Monday, November 16, 2015

Ufaransa imefanya mashambulizi ya nguvu ya anga kwenye Mji Mkuu wa Kikundi cha Wanamgambo wa IS Raqqa nchini Syria, siku mbili tu baada ya kikundi hicho kushambulia Jiji la Paris na kupelekea vifo vya watu 129

-Mashambulizi hayo yalifanywa kwa kushirikiana na vikosi vya Marekani

0 comments:

Post a Comment