Wednesday, November 25, 2015

 
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk John Magufuli  Ametangaza kufuta Sherehe za   siku ya Ukimwi..Rais Magufuli Pia Ameagiza Pesa zote
zilizotakiwa Kwenye Sherehe hizo Zitumike Kununulia Dawa.Ikumbukwe Tarehe 1 December  Kila Mwaka Huwa ni Siku ya Ukimwi Dunia.Sherehe hizo zilikuwa Zifanyike Kitaifa Mkoani Singida 

0 comments:

Post a Comment