
Bi. Nyamiti Ivan Lusinde alifariki dunia Jumanne tarehe 17 Novemba, 2015 Dar Es Salaam, Tanzania ambapo alikuwa likizo yake ya mwaka.
Kitabu cha rambirambi kipo nyumbani kwa marehemu
20408 Honey Crisp Lane, Apartment E
Germantown, MD 20876
Maelezo zaidi kuhusu taratibu za mazishi yatatolewa mara baada kupokea taarifa zaidi kutoka nyumbani Tanzania.
0 comments:
Post a Comment