Wednesday, November 18, 2015




Mheshimiwa Wilson M. Masilingi, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani, anasikitika kutangaza kifo cha Bi. Nyamiti Ivan Lusinde, aliyekuwa mfanyakazi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Washington DC.



Bi. Nyamiti Ivan Lusinde  alifariki dunia Jumanne tarehe 17 Novemba, 2015 Dar Es Salaam, Tanzania ambapo alikuwa likizo yake ya mwaka.



Kitabu cha rambirambi kipo nyumbani kwa marehemu

20408 Honey Crisp Lane, Apartment E
Germantown, MD 20876



Maelezo zaidi kuhusu taratibu za mazishi yatatolewa mara baada kupokea taarifa zaidi  kutoka nyumbani Tanzania. 


0 comments:

Post a Comment