Tanzania bado iko kwenye majonzi baada ya msiba wa aliyekuwa mbunge wa Ludewa,Deo
Najua
kuna watu walikuwa na maswali juu ya atakayewaongoza wakazi wa Ludewa,
sasa leo Novemba 5, 2015 mke wa marehemu Deo Filikunjombe ‘ Saraha’
ameyaandika maneno haya kupitia akaunti yake ya instagram kuhusiana
aliyeteuliwa kugombea jimbo la Ludewa.
‘Nawaombeni
wana ludewa wote kwa heshima nawaomba niwaambie ukweli kuwa huyu ndie
anayeweza kuvaa viatu vya mume wangu mpendwa kwani mara nyingi amewahi
kumchangia
0 comments:
Post a Comment