Thursday, November 5, 2015

Ikiwa leo Novemba 5, 2015 ndio Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemaliza muda wake wa kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
huku Dk.John Pombe  Magufuli akiapishwa kama rais wa awamo wa 5 wa kuliongoza taifa hili.Sasa kupitia kwenye akaunti ya twitter ya Jakaya Mrisho Kikwete ameyaandika haya  

0 comments:

Post a Comment