Tuesday, November 17, 2015


Stamina ameachia wimbo huo unaokwenda kwa jina la Mr. Bonaventure wikiendi iliyopita siku ambayo alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na kusema kuwa anawashukuru mashabiki wake kupitia wimbo huo huku akiongeza kuwa wimbo rasmi utatoka hivi karibuni.
“Nashukuru Mungu, vyombo vya habari na mashabiki wangu, nimeutanguliza huu wimbo kwao kama ‘bonus track’ inayoelezea historia ya maisha yangu na kazi yangu. Kazi yangu official itatoka soon,” alisema Stamina.

0 comments:

Post a Comment