Monday, November 9, 2015



Kingkiba aka Alikiba ametua Los angeles, Marekani ambapo ameenda kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Lupela’

11262715_974913289232700_897703213_n
Alikiba amefanya kazi na mwalimu wa dance (choreographer) maarufu zaidi nchini Marekani, Oththan Burnside ambaye amewahi kufanya kazi na wasanii wakubwa wa nchini humo ikiwemo Chris brown, Ciara, Nick Minaj, Ne-yo, Ashanti, Rihanna, Justin bieber na wengine ikiwa ni pamoja na kushiriki kwenye uandaaji wa video zao na kuzunguka kwenye tour zao za Music, Tumekukusanyia picha za behind the Scene ya utengenezaji wa Video hiyo
kiiiing

kiing
                            Huyu ndio mrembo aliyetumika kwenye video hiyo

king
12224581_1515849052072580_297854157_n
kiiing
11925915_709643532503173_288612782_n

0 comments:

Post a Comment