Saturday, November 21, 2015

Staa nambari moja Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

NI gumzo! Ubuyu motomoto ambao unasambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu mjini unadai
kuwa, staa nambari moja Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwigizaji Kajala Masanja wamedaiwa kuwa ni wapenzi na sasa ni mahaba niue  

0 comments:

Post a Comment