Posted by Williammalecela.com on Monday, November 30, 2015
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole
Gabriel (katikati) akifuatilia kabumbu ya wanawake iliyokua ikiendelea
wakati wa tamasha la Live Your Goals kuhamasisha mpira wa miguu wa
wanawake lililoandaliwa na FIFA jana jijini Dar es Salaam katika viwanja
vya Karume. Kulia ni Mkurugenzi wa Michezo Bw. Leonard Thadeo, na
kushoto ni Mwenyekiti Kamati Soka la Vijana Bw. Ayoub Nyenzi.
Baadhi
ya wanasoka wanawake kutoka katika vilabu mbalimbali vya mpira wa miguu
wakisakata kabumbu jana jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karume
wakati wa tamasha la Live Your Goals kuhamasisha mpira wa miguu wa
wanawake lililoandaliwa na FIFA.
Mabalozi
walioteuliwa na FIFA kuhamasisha mpira wa miguu wa wanawake nchini
wakijitambulisha kwa mgeni rasmi wakati wa tamasha la Live Your Goals
lilifanyika jana jijini Dar es Salaam katika Viwanja vya Karume kwa mara
ya pili baada ya kufanya tamasha hilo kwa mara ya kwanza Mkoani Geita
mnamo mwezi Julai 2015.Picha na: Genofeva Matemu.
0 comments:
Post a Comment