Posted by Williammalecela.com on Wednesday, December 23, 2015
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri
na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la
kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake, na hawa ndio waliopata
nafasi hiyo.
0 comments:
Post a Comment