CHAMA Cha Chamapinduzi 'CCM' hivi punde kimeipongeza Serikali ya Dr John Magufuli kwa kutekeleza kwa vitendo ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2015-2020 kwa kuanza na kupambana na ufisadi nchini.
Taarifa kutoka katika kamati kuu ya CCM,inasema kuwa inaimani kubwa na Serikali ya Magufuli katika kutatua shida za Watanzania huku ikisema kuwa inafurahishwa na kasi ya Mgaufuli katika kusimamia mapato ya nchi hasa yatokanayo na Bandari na Kodi.
Kamati Kuu inaipongeza Serikali Chini ya Uongozi wa Rais Dkt John Pombe Magufuli, Makamu Mhe Samia Suluhu na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa
— Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) December 8, 2015Kamati Kuu inapongeza na kuunga mkono Juhudi kubwa ya Serikali ya kusimamia vyanzo vya mapato kwa kuimarisha utendaji wa mamlaka za TPA&TRA
— Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) December 8, 2015

0 comments:
Post a Comment