Posted by Williammalecela.com on Thursday, December 10, 2015
Mwenyekiti wa kwanza wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia Muasisi wa chama hicho,
Edwin Mtei, amesema kuwa uamuzi wa Rais Magufuli wa kufuta sherehe za
uhuru utakuwa umeleta tija kubwa kwa taifa ambapo miaka mingi taifa
limekuwa likichezea mabilioni ya shilingi bila faida kwa taifa.
Mtei amesema kuwa sherehe hizo
zilizokuwa zikifanyika kwa shamrashara zilikuwa zinagharimu fedha za
walipa kodi kwa anasa za kula,kunywa na kulewa huku watanzania wakikosa
huduma muhimu.
0 comments:
Post a Comment