Thursday, December 10, 2015

 

RAIS wa Shirikisho la Soka Nchini,(TFF) Jamali Malinzi amempongeza Katibu Mkuu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi 'CCM' Nape Nnauye kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari,Utamaduni ,Wasanii na Michezo na Rais Dr Magufuli hivi Leo

0 comments:

Post a Comment