Posted by Williammalecela.com on Friday, December 04, 2015
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Gari iliyokuwa imebeba
Magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti kwenda mkoani Mbeya
imepata ajali eneo la Kitonga leo alfajiri na inasadikiwa watu wote
waliokuwemo ndani ya gari hiyo wamefariki.
0 comments:
Post a Comment