LEMUTUZ

Wednesday, December 30, 2015

HATARII; DC MAKONDA ATOA KAULI NZITO KWA WAKAZI WA WILAYA YA KINONDONI JUU YA MIMBA ZA UTOTONI

Posted by Williammalecela.com on Wednesday, December 30, 2015


Njia bora ya kumsaidia maskini ni kumsomesha mtoto wake. Nawaomba watu wote wenye mapenzi mema tuungane kujenga Secondary 6 ktk Wilaya yetu ya Kinondoni ili kuwezesha vijana zaidi ya 3183 kuendelea na masomo yao. Kazi ya ujenzi inaanza tareh 5/1/2016. Kwa kufanya hivi tutawaokoa vijana hawa na Mimba za utotoni, Magonjwa, matumizi ya madawa la kulevya na hata ukabaji. Nawaomba tena tuunganishe nguvu zetu.

A photo posted by Paul Makonda (@paulmakonda) on Dec 30, 2015 at 1:46am PST

Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT