MSANII
mahiri wa Pop kutoka nchini Marekani,Justine Beiber amefanikiwa
kuwafunika wasanii wakubwa na wakali wa Tanzania na Afrika kwa Ujumla
kwa trak yake ya 'sorry' kuchezwa mara nyingi zaidi katika vituo vya
Redio na Luninga vya hapa nchini.
Kwa
mujibu wa chat rasmi ya Cmea na Cosota inayotolewa kila wiki,Justine
Beiber amefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwa wiki ya pili sasa,huku
Msanii nguli wa Tanzania Diamond akiwa na igizo jipya la 'utanipenda'
akiingia moja kwa moja na kukamata nafasi ya tano
0 comments:
Post a Comment