Waziri
wa nchi sera uratibu na bunge, ajira na walemavu Mheshimiwa Jenista
Mhagama amewatembela na kuwafariji waathirika wa majanga ya mvua
zinazoendelea kunyesha ambazo zimeharibu nyumba za wananchi, kuwajeruhi
na kuwaacha hawana mahali pakuishi mkoani Ruvuma
maeneo yaliyotembelewa na waziri huyo ambaye pia ni mbunge wa jimbo
la Peramiho mkoani Ruvuma Mheshimiwa Jenista Mhagama ni pamoja na kata
ya magagura ambapo ametoa msaada wa shilingi laki tisa kwa kata hiyo na
kata ya Mbinga Mharule zilizokumbwa na maafa huku Bi. Bertha Komba na
mwanae mdogo wakinusurika kufa baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba
yao ambapo kufuatia maafa hayo ameagiza kupandwa kwa miti ili mkujikinga
na upepo.
Waathirika wa maafa hayo akiwemo mlemavu mmoja wa miguu anayetambaa
aliyeangukiwa na ukuta wanaeleza hali ilivyokuwa na namna walivyoweza
kujinasua
0 comments:
Post a Comment