Tuesday, December 15, 2015




WAZIRI wa afya,wanawake jinsia na watoto,Ummy Mwalimu  amesema kuwa Wizara yake ipo tayari kufanya kazi na watanzania wote ambao wanasumbuliwa na ukiritimba wa huduma mbovu zinazotolewa na watumishi wa afya,ambapo aameagiza watu wote wanaokumbana na matatizo kama hayo kuwasiliana naye moja kwa moja kupitia email yake

0 comments:

Post a Comment