Monday, December 7, 2015






MSANII mahiri wa filamu aliyehamia kwenye bongo Fleva,Snura Mushi ameibuka na kudai kuwa hakuhusika na kashfa za kumtukana mtoto wa H baba,Tanzanite katika shindano la tabasa mwanangu ambalo linawashindanisha watoto mbalimbali ili kumpa mtoto mmoja mwenye mvuto zaidi,ambapo Tanzanite ameshiriki.

Katika ukurasa wake wa kijamii wa instagram,Snura amemshukia HBaba kwa kumsema vibaya kuwana kumtukana kwa kile alichodai kuwa ni kumtukana mwanae na kuhamasisha watuwamtusi Tanzanite katika shindano hilo


Angalau sasa naweza ongea chochote kwanza namshukuru mungu kwa kila jambo pili nakushukuru kakaangu @hbaba123 kwayote yaliyotokea najua ww mwenyewe mpaka sasa unaujua ukweli kua siusiki na chochote ulichonihusisha vipi sasa waliosoma na kuniona mm mbaya na kunitukana je wanaelewa kama ulinionea haya kaka mie namwachia mungu ndio mjuzi kama niliwahi kumtuma mtu au kuandika mimi mwenyewe kumtukana tanzanite naapa mbele yawatu hapa mungu aniulie wanangu hbaba imeniuma sana mimi nimtukane tanzanite insha allah mungu atalipa.....tatu kwenu wahusika wa tabasam mwanangu najua mliniomba kwania njema mimi nimsapot Raniah ila mmeniponza kumsapot kwangu nazushiwa nisiyo yafanya wala kuyafikiria sitotaka mnishirikishe tena kwasababu nimeona nitatizo tena linaleta chuki mie sipendi nilijua nimashindano tu yawatoto namsapot kawaida tu kumbe dah!! haya tumwachie mungu ila sina kinyongo kabisa nawapenda wote hbaba na familia yako na nawaombea kheri washiriki wote wa tabasam mwanangu mmalize kwa usalama#Amin @riyamaally @batuli_samia_magufuli @eshasbuheti @hkhyper02 @neynainai @halimayahya @amisuumaliki@tabasammwanangu
A photo posted by @snuramushi on

0 comments:

Post a Comment