#Habari:Rais
Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka
ya
Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Mwaimu na maafisa wengine wanne kwa matumizi mabaya ya fedha ya serikali.
Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Mwaimu na maafisa wengine wanne kwa matumizi mabaya ya fedha ya serikali.

0 comments:
Post a Comment