Sunday, January 10, 2016



Rais Dk John Pombe MagufuliWakati viongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano wamefanikiwa kutumbua majipu katika ukwepaji kodi, ushuru wa bandarini na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, bado kazi hiyo ya kuibua ufisadi inaonekana kuwa kubwa zaidi kwa mujibu wa taarifa mbalimbali za ukaguzi na hoja zilizokuwa zinaibuliwa bungeni, kuna majipu uchungu sita yamebaki.  

0 comments:

Post a Comment