Kova
amebainisha mapenzi yake kwa msanii huyo leo Jijini Dar es Salaam,
alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast cha East
Africa Radio.
Katika kuonesha kuwa anamfuatilia kwa karibu kazi za msanii Koffi Olomide, Kamishna Kova aliomba apigiwe kibao chake kipya kinachotamba hivi sasa cha Selfie.
Katika kuonesha kuwa anamfuatilia kwa karibu kazi za msanii Koffi Olomide, Kamishna Kova aliomba apigiwe kibao chake kipya kinachotamba hivi sasa cha Selfie.
0 comments:
Post a Comment