Mwanasiasa
mkongwe nchini, Kingunge Ngombare Mwiru, amesema atampima na
kuzungumzia utendaji wa Rais wa tano, John Magufuli atakapotimiza siku
100 Ikulu.
Dk.
Magufuli leo ametimiza siku 59 tangu kuapishwa kushika madaraka hayo
Novemba 5, mwaka jana na ameshafanya mambo makubwa yaliyompa sifa kem
kem kitaifa na kimataifa.
0 comments:
Post a Comment